11. Utabiri aliopewa Raymond Aguilera, tarehe 6 Desemba 1990 kwa lugha ya Kihispania.

Mnisikilize! Mnisikilize!

Mnisikilize kwa masikio yenu.

Mnisikilize! Mnisikilize!

Mnisikilize! Wapendwa Wangu.

Mnisikilize! Mimi, Mungu Wenu

Nawapenda. Nawapenda.

Nawapenda. Nawapenda.

Mimi ni Mungu Wenu.

Mungu Wenu,

Mungu wenu.

Mungu wenu.

Mimi ni Mungu wenu.

Mnisikilize! Mnisikilize! Mnisikilize!

Mimi ni Mungu wenu. Mungu wenu wa Mbinguni.

Kuna vita Mbinguni sasa hivi

na Mwanangu anawapigania ninyi nyote.

Angalia juu. Angalia juu. Imeanza.

Vita vimeanza,

Wapendwa Wangu

Wapendwa Wangu

 

Wapendwa Wangu

Wapendwa Wangu

Mimi, Mimi, Mimi,

Mimi Ndimi, Mimi Ndimi, Mimi Ndimi, Mimi Ndimi

Angalia, Mwangalie Mungu ambaye ni Kristo,

Mungu

Kristo

Kristo

pamoja na Roho Mtakatifu

pamoja na Roho Mtakatifu,

pamoja na Roho Mtakatifu.

Aaa….Aaa…Vita vimeanza.

Vita vimeanza Wanangu, Wanangu

 

Tazama juu. Tazama juu Wanangu.

Imeanza. Imeanza.

Desemba 2, Desemba 2, Desemba 2.

Imeanza, Imeanza Jumapili,

Desemba 2, Desemba 2.

Kwa nini hamtaki kunisikia?

Kwa nini hamtaki kunisikia?

Kumetokea nini? Kumetokea nini kwa Wanangu?

Kwa nini hamtaki angalia juu?

Kwa nini hamuangalii juu?

Muda umefika, umefika.

Ah Warembo Wangu, Wanangu wa thamani.

Mimi, Mimi, Mimi,

Mimi Sielewi kumetokea nini kwenu!

 

Mimi sielewi kumetokea nini kwenu!

 

Nawapenda sana. Nawapenda sana

 

Nawapenda kwa Moyo Wangu wote.

Na inaelekea kuwa mmemkubali shetani.

Inaelekea kuwa mmemkubali shetani.

Na kama mmekubali shetani, Mimi nitalia.

Nitalia.

Nitalia.

Kwani Siku imewadia.

Kwani Walio Wema wataenda Mbinguni

Pamoja na Kristu, na Mimi,

Baba yenu, Baba yenu.

Sikia, Roho Mtakatifu anawaita..

Anawaambia pia,

 

Katika Mioyo yenu kile kinacho tokea.

Mniskilize!, Mnisikilize!

Harakisheni, Inukeni! Inukeni!

Mimi, Mimi, Mimi,

Mnahali gani?

Mnahali gani Wanangu?

Mnahali gani?

Sitaki kulia tena

Kwa kuwa poteza Wanangu.

Sitaki kumpoteza yeyote kati yenu.

Sitaki kumpoteza yeyote kati yenu.

Kwani nawapenda sana.

Nawapenda ninyi kwa Moyo Wangu wote.

Looh….Imewadia

Biblia imekamilika sasa mpaka tarehe ile.

Des. 2, Des. 2,

Soma Biblia.

Soma Biblia.

Mimi….Niliwaambia Ninyi na Baba

zenu pia

kuwa Siku inakuja

Des. 2, Des. 2, Des. 2, Jumapili.

Ni siku ya Sherehe.

 

Ni siku ya sherehe.

Ni siku ya sherehe.

Na ya Dunia

Na ya Dunia.

Kwani imefika.

Kwani imefika

na Mwanangu anapigana

na shetani Mbinguni

kwa vita vikali sana, vikali sana,

pamoja na Malaika

pamoja na Malaika.

Mimi ….. na Malaika.

Mikaeli, Mikaeli anamsaidia.

Mikaeli ana msaidia

kwani shetani,

kwani shetani anakimbia

Anataka kujificha,

Lakini Mwanangu anajua,

Mwanangu anajua yote.

Na Michaeli, na Michaeli anamsaidia

Yeye.

Anamsaidia sasa hivi

Na Mikaeli anafahamu yote pia.

 

Anajua lakufanya.

Kwani Mwanangu humwambia.

Anakwenda pale.

Anakwenda pale,

Njoo hapa

Njoo hapa

na Mikaeli anakuja,

Anakuja, Anakuja.

Anafanya kila anachoambiwa na Mwanangu.

Kwani Mwanangu, Mwanangu, Mwanangu wa thamani nyingi

Yote atakayo kwenda kufanya.

Yote atakayo kwenda kufanya.

Yote atakayo kwenda kufanya.

Iko kwenye Biblia.

Iko kwenye Biblia

Wote Mbinguni tulikuwa tukiingojea

Siku hii, Siku hii

Mimi sielewi kwa nini ninyi watu

Mnavichwa vigumu, vigumu namna hii

Ni aibu gani hii, kwani Nitakwenda kuwapoteza ninyi.

Nitawapoteza ninyi kama hamtanisikiliza Mimi!

Nitawapoteza ninyi kama Hamtanisikiliza.

Nitawapoteza ninyi.

Loo…Loo Kuna mashetani wengi

Kuna pepo wengi sana,

Kiasi kwamba nimechoshwa, Nimechoshwa

na mapepo wa Dunia hii.

Loo..Loo Kuna mashetani kila mahali

 

Mbele yako, kulia kwako,

Kushoto kwako, na nyuma yako.

Kuna mashetani kila mahali

Na kuna mashetani wengi kanisani.

 

Kanisani

Ah, ndiyo, kuna mashetani wengi kanisani pia.

Inawabidi, inawabidi

Kujichunga, inawabidi kujichunga

Kwani wapo hata kanisani.

Katika ngazi za juu za kanisa pia.

Wana mashetani,

Wana mashetani

Ngazi za juu za kanisa pia,

Wana mashetani

Wana mashetani

Inakubidi ujihadhari.

Inakubidi ujihadhari.

Kwani wanawaambia neno baya

Neno baya

Kwani wana mashetani

Wana mashetani, Wanangu.

Mjihadhari.

Mjihadhari

Kwani wao wanachotaka ni kila kitu

Wanataka kila kitu.

Wanataka watu wawatukuze wao.

 

Wanataka watu wawatukuze wao.

 

Kwani wao wanajiona kuwa ni Wakubwa sana.

Kwani wao wanajiona kuwa ni Wakubwa sana.

Lakini wao sichochote.

Wao sichochote.

Kwani nitakapomalizana nao.

Kwani nitakapomalizana nao.

Wataenda shimoni.

Wataenda shimoni.

Lakini inabidi mjihadhari.

 

Inabidimji hadhari

Kwani hao Wakuu watawapelekeni shimoni pia.

Ni aibu gani! Ni aibu gani!

Ni aibu gani! Ni aibu gani!

Mnisikie! Mniskie! Mnisikie!

Mimi pekee, Mimi pekee Baba yenu,

Baba yenu, Baba yenu

Na Malaika Mbinguni

Na Kristu wenu

Na Kristu wenu

Pamoja na Roho Mtakatifu

Mimi ni Baba yenu

Mimi ni Baba yenu

Na wafahamu Wakuu wa Kanisa

 

Ni wabaya kama wale wa siku za kale,

Ni wabaya kama wale wa siku za kale.

Hakuna kilichopita nisicho kijua.

 

Hakuna kitu nisichokijua.

Hakuna kilicho badilika.

Hakuna kilicho badilika

Ya siku za zamani,

 

Ya siku za zamani,

Ya mababa zenu wa zamani.

Ah ni aibu gani! ni aibu gani!

Yakuwa wale wa kanisa

Wakanisa, wa Mwili wa Kristu

Kwani walioko kwenye uongozi wa juu

Ni wabaya kiasi hicho.

Ni wabaya kiasi hicho.

Lakini siku ile imefika

Imefika

Ya Mimi kutumia Sheria, Sheria

na Mwanangu Yesu Kristu

Yesu Kristu, Yesu Krstu

Na Roho Mtakatifu

Na Roho Mtakatifu

Na Roho Mtakatifu

Ya kuwa naenda kunyoosha kila kitu.

 

Na kwenda kunyoosha kila kitu

 

Na kwenda kunyoosha kila kitu

 

Mnisikie Mimi, Mnisikie Mimi, weka masikio yako kwenye Neno

La Mungu

La Mungu

La Mungu

Na Kristo

Na Kristo

Na Kristo

Na Roho Mtakatifu

Na Roho Mtakatifu

Na Roho Mtakatifu

Kwani ngazi za juu ya Kanisa ni wabaya.

Ni wabaya.

Wana tumia ulimi mbaya mno,

Ulimi wa mnyama anayetambaa ardhini.

Ni uchafu ulioje,

Ulioko pale.

Ulioko pale.

Ulioko pale

Mnisikie! Mnisikie! Mnisikie!

Kwa nini hamnisikilizi Mimi?

Kwa nini hamnsikilizi Mimi?

Ah, wanaulimi wa nyoka,

Ulimi wa nyoka.

Ndiyo ngazi za juu za kanisa

Kuna wengi walio wazuri,

Kuna wengi walio wazuri,

Lakini kuna wengi walio wabaya

Walio wabaya

Walio wabaya

Wanaamini kuwa wao ni miungu.

Wanaamini kuwa wao ni miungu

Lakini hakuna Mungu, ila Mimi,

Baba yenu, Baba yenu wa Mbinguni

Pamoja na Kristu, pamoja na

Kristu, Pamoja na Kristu,

Na Roho Mtakatifu,

Na Roho mtakatifu,

Na pamoja na Roho Mtakatifu

Mimi ni Baba.

Nilikuwa hapa na Nilikuwa pale,

Na Nilikuwa hapa na Nilikuwa pale

Na Mimi niko hapa

Na Mimi niko hapa

Na Mimi niko hapa

Ah, ni aibu gani! Ni aibu gani!

Nisikieni, Nisikieni, nisikieni,

(ndimi/lugha isiyoeleweka?)

 


e-mail:Ray@prophecy.org
Kusaidia huduma hii Bonyeza hapa.  

au andika kwa: Raymond Aguilera, S.L.P.20517, El Sobrante, CA. 94820-0517, USA.

Kuagiza Vitabu vya Unabii bonyeza kwenye kitabu

Haki ya kunakili © 1989-2001, Raymond Aguilera, Prophecy.org (sm) Haki zote zimehifadhiwa


Kurudi Kwenye Jalada la Kitabu cha Unabii.

Kurudi Kwenye Orodha ya Yaliyomo. (1-1000)

Kurudi kwenye Orodha ya Yaliyomo 2 (1000 + )

  Kwenda kwenye Unabii unaofuata.